KIJANA AKAMATWA NA POLISI KWA UTAPELI, AJIFANYA YEYE NI RUGE MUTAHABA WA REDIO CLOUDS
Huyu kijana amekamatwa leo Clouds, kwa kosa la kutapeli watu mbalimbali kwa kutumia majina ya wafanyakazi
wa Clouds akiwemo Ruge Mutahaba na kujifanya yeye ndio kiongozi wa
idara ya muziki ya Clouds fm na kuwatapeli wasanii chipukizi kwa kuomba
rushwa ya hela ili nyimbo zao zichezwe redioni
No comments:
Post a Comment