Picha aliyoweka Faiza Ally Instagram ya Mhe. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akiwa katika pozi na mwanaye Sasha.
MSANII
wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph
Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali
kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.
Kupita
akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na
mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi
mwenyewe sema tu…
Picha aliyoweka Faiza Ally Instagram ya Mhe. Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ akiwa katika pozi na mwanaye Sasha.
MSANII
wa filamu Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya mjini, Joseph
Mbilinyi ‘Sugu’, leo amewatolea uvuvi watu waliokuwa wakijiuliza maswali
kuhusu mwanaye Sasha na na baba yake.
Kupita
akaunti yake ya Instagram, Faiza ameweka picha na Mhe. Sugu akiwa na
mwanaye Sasha na kuandika kuwa "Mara nyingi huwa nawapiga picha mimi
mwenyewe sema tu sipendi sana kurusha kwangu"
Na
kwa wale waliokuwa wanauliza maswali juu yao, Faiza amewajibu hivi: "Ni
kweli kuna wakati tulikuwa hatuelewani kabisa na wala hatukuwa
tunaonana lakini kwa sasa tofauti zetu zimeisha hatuna ugomvi japo
hatuko pamoja"
Faiza akiwa na Mhe. Sugu enzi hizo.
"Lakini
mwisho wa siku huyo ndiyo baba Sasha na mzazi siku zote atakuwa mzazi
tu, haijalishi tuna tofauti kiasi gani" Alimalizia kuandika msanii huyo
asiyeishiwa vituko.
Baada
ya kuwek picha hiyo wengi wa mashabiki wa Faiza walimpongeza kwa hatua
hiyo huku wengine wakiwataka warudiane ili walee mtoto pamoja.
No comments:
Post a Comment