Nyakaho Marungu (16) Mwanafunzi bora wa mihani wa kidato cha nne mwaka
2014,Nyakaho Marungu (16),amesema mazingira mazuri ya kusomea na msaada
anaoupata kutoka wa wazazi wake ndiyo uliofanikisha afike hapo halipo
Marungu mkazi wa kitunda alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es salaam
wakati akizungumza na NIPASHE jumapili na kuelezea kuwa,ufaulu huo pia
ulitokana na umakini wakekatika masomo.
Mwanafunzi huyo ambae anasoma katika shule ya Sekondali Baobab iliyopo
Bagamoyo Mkoani Pwani,amekuwa wa kwanza kati ya wanafunzi 196,805
waliofanya mtihani huo mwaka jana baada ya kuibuka na ponti 5.1 "Nilitarajia kufanya vizuri lakini sikujua kama nita kuwa mwanafunzi bora wa mwaka 2014 nchi nzima" alisema
Nyakaho ambaye wakati wote alionyesha uso wa furaha akiwa nyumbani kwa
wazazi wake alisema anawashukuru wazazi wake,Walimu na mazingira mazuri
ya shuleni yaliyomfikisha hapo"Jitihada binafsi kujituma kusoma kwa
bidii hasa wakati wa usiku,pia uwepo wa vifaa vyakutosha Shuleni pamoja
na vitabu vimenisaidia sana"alisema na kuongeza Shule ina vifaa
vya kutosha ikiwa ni pamoja na maabara nzuri ya kisasa na kuongeza pia
anapendelea kusoma masomo ya sayansi"alisema wakati wote akiwashuleni alitumia muda mwingi kujisomea masomo ya sayansi"alisema wakati wote akiwa shuleni alitumia muda mwingi kujisomea kwa kuwa aliamini mafanikio hayapatikani bila kujituma".Mama
wa mtoto huyo Selestina Maro,alisema Nyakaho ni mtoto wake wapili na
kwamba mafanikio yake yanatokana kwa jitihada zake binafsi."Darasa
la saba alifaulu na kwenda shule ya sekondari ya Jangwani lakini
tuliamua kumpeleka St.Thereza iliyopo Arusha ambapo huko alisoma kw
amwka mmoja,shule ya Baobab alianzia kidato ca pili hadi akamaliza"alisema na kuongeza
"Ushauri wang kwa wazai na walezi wafuatilieni watoto wenu
wanapotoka likizo au wanaporudi kutoka shule siyo kuangalia
televisheni,hakikisheni wanakazania masomo"alisema
No comments:
Post a Comment