23 February 2015

BAADHI YA WASANII WAWASILI DODOMA KWA KUMWAGA MSANII MWENZAO MEZ B.

Taswira nyumbani kwa kina Mez B ambapo ibada inaendelea muda huu... Baadhi ya wasanii pamoja na Wadau wapo wameshawasili mkoani hapa Dodoma kwa ajili ya kuaga mwili wa mpedwa wao...Hivyo basi ndugu jamaa na marafiki wote tukutane leo pale Nyerere Square ili wote kwa pamoja tuweze kumwaga ndugu yetu Mez b



No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname