29 January 2015

UMBEA KUTOKA KWA TIMU WEMA SEPETU , AMWAGA CHOZI UGOMVI WAKE NA TEAM ZARI UMEHAMIA IN ANOTHER LEVEL


Ujumbe huu umetoka kwa mmoja wa shabiki wa karibu wa wema sepetu anyetumia acount hii @mtaawapili ya instagram : bad new nimezipata jana kuhusu wemasepetu dah mpka nimelia kwa uchungu kwanini teamdiamond na teamzari
wamejipanga vizuri kumrushia wema mavi na mkojo kwenye show yake yyote atakayo fanya jamani mtto watu amefanya nini kwanini msimtafuteni wagomvi wa daimond sio wema

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname