26 January 2015

Tembo ashambulia gari la watalii wachokozi na kuliacha nyang'anyang'a!


Wiki iliyopita January 2014 watalii fulani wawili huko Afrika Kusini walijifanya wajuaji na kumkorofisha tembo na tembo akalishambulia gari lao na kuliacha written off, huku akiwajeruhi hao watalii. Unfortunately, ilibidi tembo auwawe kwa risasi na game rangers kwa kuogopa kwamba anaweza kushambulia magari mengine. Angalia picha na video link hapo chini. Ukisoma comments utaona watu wengi wamekasirishwa na kitendo cha kumuua tembo huyo aliyechokozwa!

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname