![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgc5HKGrvQeP_gOnTuP2LOg2MEoqT_2tU5TNqcG0TxcCw7QqissXd7O2CC_-paczwXZd6l5e5v-IA5xlGCUdrQg40FIu9G6Y4Tw3qmK6ArKGfv4roPmJ0cWxvSbA9GQxLokpawZbe-lofY/s1600/MUHONGO.jpg)
Siku
Mbili tu. Baada ya profesa Sospeter Muhongo kujihuzuru nafasi ya waziri
wa nishati na madini hii JanaTume ya Ramani na Madini Miamba na Mawe
Duniani yenye makao makuu nchini Uingereza imemteua profesa Muhongo kuwa
mtendaji mkuu wa tume hiyo pia atafanya kazi kwenye kampuni inayopasua
miamba diniani kama mwenyekiti.
No comments:
Post a Comment