![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7K3TF2eE3iD64mBDCpGmlUDjsfQFTFnD0npeD1NDL52oMQHk_HVEVyHcSCRW7pscnuTYJz6y4EwuSvWv2KnQltgt3k5fI359oJ2Z-VXBz4Q6_PMNbU7gJmM00dkh9XeFVTAwh5BDfBCBd/s1600/SHABIBY.jpg)
#Shikamoo_pesa Kwa habari za uhakika nilizozipata basi hizi za shabiby zenye #tv kwa kila sitt ambapo kila mtu kwenye sit yake anaweza kuangalia #movie au mziki aupendaye na pia katika kila #tv inakuwa na Airphone ya kuvaa na pia mbele pamoja na kati kati kuna #big_creen Na pia katika kila seat ina system charge ambapo unaweza kucharge simu ya aina yoyote bila usumbufu ...basi two by one na zitawasili nchini tar 6 mwezi wa 4 mwaka huu... Sifa nyingine ya bus hizi zina choo ndani na pia unaambiwa hizi ni basi za kwanza kukanyaga kwenye ardhi ya Africa....haki ya mungu #shabiby cyo mtu wa kuchezea... Nakumbaka mwaka jana mwezi wa 12 aliagiza basi 10 mpya ...Kiukweli bila unafki napenda kumpongeza mh shabiby napenda kumalizia kwa kusema..#Shikamoo_pesa
No comments:
Post a Comment