28 January 2015

BREAKIN NEWZZZ!!:- KIMENUKA BUNGENI SASA HIVI ONA KILICHOJIRI SASA HIVI LIVE!!



"SPIKA WA BUNGE aairisha vunge paka saa kumi baada ya kutokea vurugu ndani....MH MBATIA alileta hoja ya kujadili kukamatwa na kupigwa kwa Prof;Lipumba.......SPIKA BUNGE alitoa ufafanuzi ya kuwa ameiagiza serikali kutoa tamko kesho hivyo hoja hiyo ijadiliwe baada ya tamko Wapinzani hawakuafiki maelezo ya SPIKA na kusababisha kutokea mvurugano"

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname