The Choice

13 November 2014

MONALISA ATAMANI KUOLEWA JUA LIMEKUCHWA

Staa wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ‘Monalisa’.
Staa wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ‘Monalisa’ hivi karibuni aliweka wazi kuwa anatamani kuolewa lakini hajampata wa kumuoa.Monalisa alifunguka maneno hayo baada ya uvumi kuenea kuwa amepata mtu anataka kumuoa na mipango ya ndoa iko tayari.
“Mh! Wewe si wa kwanza kuniambia maneno haya jamani hivi yanatoka wapi? Mimi sijapata mtu wa kunioa jamani ila nikimpata nitaolewa kwa sababu jua limekuchwa pia ndoa ni jambo la heri,” alisema Monalisa
Katikati ya mwaka huu, Monalisa alionyesha matamanio yake ya ndoa ambapo alivaa shera kwenye harusi ya rafiki yake na kuingia na mumewe ikiwa kama maigizo kituko hicho kiliipendezesha shughuli hiyo.
Posted by Jason at 11:30
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Comments system

Disqus Shortname

Social Widget

  • Instagram
  • The Choice
  • Twitter

Facebook

Flickr Widget

Boxed Version (yes/no)

IMG Scroll Animation (yes/no)

Widget Recent Post No.

Widget Random Post No.

Widget Recent Comment No.

PageNavi Results No.

Social Media Icons

  • choice

Ola

  • Download New Music
  • New Video
  • Nunua Gari Hapa
  • Contacts
New Video

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

Bofya hii PICHA kudownload APPLICATION YA The Choice

pin blw

google analytics

Random Posts

Most Recent

Social Media Icons 2

  • The Choice

Contact us

Name

Email *

Message *


Total Pageviews

.

.

.

.

Popular

  • NEW MUSIC; "VAA TWENDE - BIGG BOSS
  • MAHARATA
  • DIAMOND AFUNGA MITAA YA TANDALE NA TUZO YAKE
  • HIVI NDIVYO BILIONEA MENGI NA MKEWE WANAVYOISHI KATIKA PEPO AMBAYO WENGI HAWAIJUI
  • BRAND NEW VIDEO Belle 9 Featuring Joh Makini - Vitamin Music Official Video
  • Rais Magufuli awahamisha watumishi wa afya katika jengo la muhimbili, ili kina mama wanao lala chini waweze kutumia jengo hilo
  • RAIS MAGUFULI AMFANYA KINGUNGE KUVUNJA AHADI YAKE...NAKUTOA KAULI HII
  • Picha: Je Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' amelinunua gari hili aina ya Rolls Royce lenye thamani ya zaidi ya Tshs 367,080,000!
  • Breaking Newzzzzz.........ANGALIA PICHA Dr.ULIMBOKA ALIVYO UMIZWA BAADA YA KUTEKWA
  • HIZI NDO RADIO BORA 20 BARANI AFRIKA..CLOUDS FM YASHIKA NAFASI YA 7

Blog Archive

My Website List

Recent

Comments

Simple theme. Powered by Blogger.