Basi la la kampuni ya Super Feo linalofanya safari zake Songea- Mbeya limepata ajali mchana huu maeneo ya Shule ya Tanga kilomita chache kutoka katikati
ya manispaaa ya
Songea. Taarifa za awali zinaarifu watu wawili
wamepoteza maisha na idadi ya kamili ya majeruhi bado haijajulikana ila
ni zaidi ya 20 Endelea kufuat
ilia blog hii kwa updates zaidi na picha za ajali hiyo
No comments:
Post a Comment