Bibi anayesadikiwa kibakwa na kulawitiwa na mjukuu wake aliyefahamika kwa jina moja la Pius.
UNYAMA
uliyoje! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Pius (28), mkazi wa
Kijiji cha Nyingwa Kata ya Kibungo Juu, Tarafa ya Matombo wilayani
Morogoro Vijijini, anasakwa kwa tuhuma za ubakaji na ulawiti wa bibi
mmoja,(74).Kwa mujibu wa chanzo chetu, mtuhumiwa huyo alikamatwa na
kufikishwa katika Kituo cha Polisi cha Tawa wilayani humo, lakini
alitoroka akiwa amefungwa pingu saa chache baada ya kufikishwa kituoni
hapo.
Mtuhumiwa
huyo ambaye ukilinganisha umri wake na kikongwe huyo ni sawa na mjukuu
wake alidaiwa kutenda tukio hilo Aprili 20, mwaka huu saa 10:00 jioni
vichakani.
Ilidaiwa kuwa bibi huyo ambaye alikuwa msibani alitendewa unyama huo wakati anarejea nyumbani kwake.
Taarifa
zilidai kuwa baada ya kutendewa unyama huo na kuharibika vibaya sehemu
nyeti, bibi huyo alipelekwa katika Zahanati ya Tawa, lakini akahamishiwa
kwenye Hospitali ya Rufaa Morogoro kwa matibabu zaidi.Bofya hapa inaendelea >>>
No comments:
Post a Comment