Mchezaji wa timu ya Barcelona Dan Alves akila Ndizi aliyotupiwa na Mashabiki wakati Timu yake Ikicheza na Vilarial Jana Usiku Nchini Hispania.Tukio Hilo lilitokea Mchezaji huyo alipokuwa anaenda Kupiga Mpira wa Kona na Ndipo aliporushiwa Nzidi na Mashabiki yeye kuamua kuiokota nuimenya na kuila mbele ya Mashabiki Uwanjani
No comments:
Post a Comment