15 January 2014

PICHA TATA....JACKIE CLIFF PASUA KICHWA SANA...APOST INSTAGRAM AKIVINJARI KITAANI...NI FULL UTATA...!SOMA ZAIDI HAPA...

Jackie Cliff
Bado hakuna anayejua undani kuhusu picha inayoonekana kapost Jack Clief ambaye inasemekana kakamatwa huko Macao nchini China ingawa taarifa hizi mpaka sasa hazina uhakika,kuna watu wanajiuliza kama kakamatwa je karudi uraiani??na kama yuko uraiani mbona pia familia yake bado haimpati kwenye simu?

Jack Clief inavyonekana kapost picha hiyo leo akiwa kavaa kofia nyeusi iliyoandikwa Kenzo ,top nyeusi na pensi aliyowahi kuonekana nayo kwenye picha zake kadhaa na katika post hiyo chini ya picha aliandika alama ya vidole viwili  tunajiuliza kama kweli alikamatwa na je na kama hakukamatwa mbona kawa kimya kipindi kirefu tangu taarifa hizi zianzwe kusambazwa  au kuna mtu kaingia kwenye akaunti yake ya  Instagram na kupost picha hiyo,kandili yetu inafuatilia suala hili ili kukupa habari kamili

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname