Na Hawamu Juma
Mwanamuziki wa kimataifa Ambene Yesaya “AY” amesema kuwa kwa sasa
amesimamisha masuala yoyote yanayohusiana na muziki na kugeukia mambo
mengine.
Akionge na Maskani Bongo AY alisema” Kaka kwa sasa nimesimama sitaki
kufanya chochote kunachohusiana na muziki badala yake nafanya mambo
yangu binafsi ambayo nisingeweza kuyaweka wazi itakuwa sio poa” Alisema
AY
CDT:XDEEJAYZ
No comments:
Post a Comment