DIAMOND KUWASOMESHA SHULE WATOTO WATATU WALIO SHINDA KUCHEZA NGOLOLO.
Mmoja ya watoto watatu walioshinda kucheza ngololo.
management
yangu ya WCB itawasomesha miaka yote waliyobakiza shuleni ikiwa ni
pamoja na kuwahamishia katika shule zilizo bora zaidi....Ahsanten sana
Daresalaam kwa sapoti mliyonipa jana ....
No comments:
Post a Comment