04 April 2013

Angalia PICHA ZINGINE za KANGA MOJA KATIKA SHOW YA DIAMOND- BUKOBA




Mwanamke  akimwagiwa  maji  matakoni  mbele  ya  watoto  waliohudhuria

Paja lote  liko  nje  huku  akihema  utafikiri  mbwa  aliyekurupushwa



Hapo  wanafanya  mapenzi  live  japo  hawajavua.....Iko  haja  ya  kuwakataza  watoto  kushiriki  show  kama  hizi.....

Hili  ni  kundi  la  watoto  kama  unavyoliona....Kati  yao  wengine  ni  wanafunzi....Wakifeli, lawama  zote  kwa  serikali...


Huyu  hata  chupi  hana.Ni  kanga  tu  tena  imefungwa  upande  mmoja.Haya  madanguro  ya  uchi  yanakera  sana

1 comment:

  1. Sijaelewa somo hilo kama ndio utandawazi au umaskini umekithiri?Yaani kweli jamii inayo mhimili kushuhudia yanatendeka hayo mbele yao na wanafurahia? Hata hayo tunataka Rais wa nchi ndiye akemee? Hao wamama kweli wamepotoka kiasi cha kujirahisisha na kudhaliika hivyo?Na hawa wanaitwa TAMWA wapo? au na wenyewe ndio wanayafumbia macho kwa kuwa ni wanawake wenzao?Na hiyo haki sawa mnatoitafuta kwa nguvu na hiyo unyanyasaji kijinsia mnakokukoromea kuna utofauti gani na jinsi wanawake wenyewe mnavyojinyanyasa hivyo, je wanaume wawaoneja na kuwathamini vipi kwa vituko hivyo?/

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname