26 December 2013

HAPANA CHEZEA JOH MAKINI KWA SHOW ..NI MOTO WA KUOTEA MBALI..HIKI NDICHO ALICHO KIFANYA DAR LIVE JANA

ILIKUWA si mchezo..!



Mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, akiwapagawisha mashabiki wa Hip Hop waliofurika katika Uwanja wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar usiku huu wa sikukuu ya Krismasi.

Mashabiki wa Joh Makini ndani ya Dar Live wakiwa wamepagawa na burudani.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname