28 December 2013

DAYNA NYANGE AKANUSHA KUHUSISHWA NA UCHAFU UFUKWENI



Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani    Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.  Dayna kupitia page yake ya facebook, ameweka wazi kwamba sivyo kama ilivyoandikwa na baadhi ya
mitandao kwamba alfumwa badala yake ilikuwa ni sehemu ya location ya video yake ya wimbo mpya wa mimi na wewe




"Jamani izi ni moja ya Picha.... Tulipokuwa location tuna shoot wimbo wangu wa "Mimi Na wewe" Na sivyo kama ilivyo semekana. Na baadhi ya blogs kwamba nimefumwa beach nikijiachia sijui nini Na nani kha! 



Link iyooo majibu yote yako umo maana nimekuwa nikipata maswali mno


Watch "Dayna Nyange_Mimi na wewe" on YouTube

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname