21 November 2013

TAZAMA PICHA 20 ZA MJENGO WA LILI WAYNE WENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINI BILIONI 22 NA NUSU ZA KITANZANIA..!!


 Dwayne Michael Carter, Jr anajulikana kama Lil Wayne, anamiliki mjengo wenye thamani ya dola za kimarekani 14 ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania zaidi ya bilioni 22 na nusu, jengo hili lipo maeneo ya Miami ambambo ni karibu zaidi na ufukwe wa bahari, Jengo hili la Lil wayne lina vyumba zaidi ya 6 ikiwa ni pamoja na vya wageni, swimming pool pamoja na gereji 3. 
Tazama picha 20 za mjengo huu kwa ndani, nje na kwajuu uone watu wanavyoishi kwenye maisha ya kifahari sana





















Pendekeza ni msanii gani wa mbele ungependa kuona nyumba anayoishi kwa kucomment hapo chini kwenye sanduku la maoni..!

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname