15 November 2013

SNURA AHATARISHA NDOA YA NGASA, PICHA ZAO WAKIWA KWENYE MAHABA MAZITO ZAZUSHA HOFU

 Ngasa vs Snura wakiwa kwenye picha mahaba, ambapo picha hizoi zimedaiwa kuzusha balaa kwa mke wa Ngasa kiasi cha kusababisha mtafaruku mkubwa kwenye familia hiyo.

Hapa  Ngasa akitaka kumla mate Snura
Mrisho Ngasa akizichezea Lips za Snura chumbani wakiwa wawili.
Na Sakina Shabani
Mwanamuziki staa wa wimbo wa majanga Snura Mushi ameingia kwenye kashfa ya kutetelesha ndoa ya mchezaji nyota wa timu ya Yanga Mrisho Ngasa baada ya picha zao wakiwa wawili chumbani kuvuja.
Habari za uhakika zilizotua mezani kwa Kupitia XDEEJAYZ zilisema kuwa Mke wa mrisho ngasa alipandisha Presure baada ya kuona picha mumewe akiwa na mwanamuziki mwenye sifa ya kukatia pengine kuliko mwanamuziki yeyote Tanzania kwa sasa ukiacha zamani Ray C.
Hata hivyo picha hizo zilioneska zimepigwa wikiend iliyopita, hata hivyo watu wamemtahadharisha Ngasa kuhusu Snura akifanya mchezo nae anaweza kuisahau familia yake. 
CDT:XDEEJAYZ

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname