HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA REGINALD MENGI NA AFANDE SELE KUHUSU WAZIRI MUHOGO JUU YA UMEME
Mikoa
mbalimbali ya Tanzania sasa hivi ipo kwenye mgao wa umeme wa siku kumi
uliotangazwa na Tanesco siku kadhaa zilizopita ambapo maeneo mengine
wamelalamika umeme kukatika kwa zaidi ya saa 15.

No comments:
Post a Comment