21 November 2013

HALIMA MDEE ASHINDWA KUKAA KIMYA KUHUSU DIAMOND, AFUNGUKA HAYA KUMHUSU DIAMOND. SOMA HAPA


diamoMbunge wa kuchaguliwa jimbo la Kawe “Kwa Wajanja”  katika bunge la Tanzania kupitia chama pinzani cha CHADEMA Halima James Mdee, leo amemmwagia sifa msanii mahiri wa Bongo Flava nchini Tanzania, Diamond Platinumz  kutokana na uwezo anaouonyesha katika sanaa ya muziki nchini Tanzania.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mheshimiwa Halima James Mdee amepost tweet za kumsifia Diamond kwa kusema, “Huyu dogo DIAMOND…..Mungu ambariki….ni mtoto wa kitaa…aliyeonyesha kwamba inawezekana..ktk sanaa yetu , kutoka 0-100%. BE BLESSED!”

halima

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname