03 November 2013

BIBI ADONDOKA KICHAWI KINYEREZI LEO BAADA YA WENZAKE KUMUACHA CHEKI PICHA ZAKE HAPA.


Bibi mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika amesadikika kudondoka kichawi maeneo ya Tabata Kinyerezi Kisiwani baada ya wenzake aliyedai alikuwa nao kumuacha.Bibi huyo ambaye amechezea kipigo kwa Raia kwa kumtuhumu ni mchawi amedondoka Asubuhi ya LEO katika maeneo hayo huku akionekana kutokuwa na kumbukumbu nzuri au kuwa na kiweru weru baada ya kufumaniwa na RAIA

1 comment:

  1. HIVI WATANZANIA LINI TUTAINGIA KTK ELIMU YA DUNIA ,NA KUACHA KUAMINI USHIRIKINA MNAUHAKIKA GANI HUYO BIBI KAANGUKA .MIE KUNA SIKU NILIKUTANA NA WATU WANASEMA MWANAMKE KANASANA MA MUME WA MTU BASI WATUWANAKWENDA MAKUNDI KWA MAKUNDI UTADHANI WANAENDA PEPONI NA WAKARUDI HAKUNA KITU .YAWEZEKANA MTU ALIAMZISHA BIBI KAANGUKA NDO WOTE WAKFATIA LOOO

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname