AZMA TV imeanza kuonyesha mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kupitia Kituo
cha TBC1. ambapo mechi ya kwanza ilikuwa ni mchezo kati ya Simba na Ruvu
Shooting, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Picha
nyingine ni baadhi ya wafanyakazi wa Crew ya AZAM TV wakiwa kazini ndani
ya Uwanja wa Taifa.
No comments:
Post a Comment