KUMBE..PENNY NA WEMA WALIKUA MASWAHIBA WA KUFA MTU KABLA YA KUWA MAADUI HIVI KARIBUNI?? TAZAMA PICHA ZAO HAPA...!!
Kumbe Wema Sepetu na Dvj Penny walikuwa marafiki wakubwa kabla ya
kitendo cha nyota wa muziki wa bongofleva Diamond Platinum kuuvunja
urafiki huo kwa kuamua kuanzisha uhusiano.
Diamond ambaye ndiye chanzo cha kuvuruga uhusiano huo baada ya kuanzisha
uhusiano mpya na mtangazaji huyo maarufu wa DTV Penny, ambapo sasa
wadada hao wawili wamekuwa chui na paka.
No comments:
Post a Comment