10 September 2013

AZAM TV, 'FUNIKA BOVU' CHEKI MITAMBO YAO HAPA

IMEWEKWA SEPTEMBA 9, 2013 SAA 9:42 ALASIRIMtaalamu kutoka Afrika, Martin Botha akitoa mafunzo kwa crew ya Azam TV katika ofisi kuu za kampuni hiyo, eneo la Tabata Reli, Dar es Salaam.
Sehemu ya vifaa studio



Madishi...


Mtaalamu kutoka Marekani akitoa mafunzo kwa Jaffar Iddi kwa Crew la Azam TV


Botha akitoa mafunzo kwa Crew


Kijana wa Crew akipata mafunzo ya utumiaji wa vifaa vya kisasa


Kijana wa Crew mafunzoni katika kifaa cha kisasa kabisa


Kama CNN, au...


Mmoja wa Wakurugenzi wa Azam TV, Alhaj Yussuf Bakhresa (kulia) akiwa na Wataalamu kutoka Uingereza


Gari kubwa la kurushia matangazo ya moja kwa moja


Mtambo huo..


Gari la kurushia matangazo ya Live


Wataalamu kutoka nchi mbalimbali wakiwa kazini ofisi za Azam TV Tabata Reli


Mtaalamu kutoka Uingereza akiwa kazini


Hii maana yake Uwanja wa Taifa wapiga picha za kawaida watakuwa hawasumbuliwi- kinyonga huyu atakuwa anachukua vitu juu kwa juu..hakuna kukimbia na Kamera...


Gari dogo la matangazo ya Live


Uani

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname