Sakata la dawa za kulevya,hatimaye mfanyakazi wa AIR PORT ya DAR asimamishwa kazi rasmi
Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa Viwanja vya Ndege nchini, Deusdit
Kato, amesema mtuhumiwa aliyesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuhusika na
kupitishwa kwa kilo 150 za dawa za kulevya ataisaidia polisi kuwataja
wengine alioshirikiana nao kwenye mchakato huo.
No comments:
Post a Comment