04 February 2016

Ukifuta app hii kwenye simu ya Adroid basi itaweza kutunza chaji kwa asilimia 20 zaidi

facebook%2Bandroid
Kama unatumia simu ya Android na unapenda kutunza chaji, huna budi kufuta app moja muhimu, imebainika. Tatizo ni kwamba app hiyo ni Facebook – ambayo watumiaji wengi wanaichukulia kama moja ya app muhimu.

Ripoti zinadai kuwa ukitoa app hiyo, uhai wa betri ya simu huongezeka kwa asilimia 20 pamoja na kuongezeka speed. Inashauriwa kutumia Facebook kwa kutumia browser ya Chrome inayotoa notifications kama app tu.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname