13 February 2016

Picha: Mapokezi ya Diamond, familia yake na Team yake Mjini KISUMU

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinum siku ya jana akiwa na Zari  na Tiffah pamoja na team yake ya wasafi walitua mjini Kisumu nchini Kenya, na hizi ni baadhi ya picha za mapokezi yake hapo jana pamoja na ‘sound check’ aliyoifanya mapema leo kwa ajili ya show itakayofanyika leo mjini humo.
DIANOND5
DIAMOND09
DIAMOND45
DIAMOND234DIAMOND3422
DIAMOND2312

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname