08 February 2016

Imani profesa aliyesema waislam na wakristo wanaabudu mungu mmoja atimuliwa kazi

http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2016/02/Profesa-wa-Chuo-cha-Wheaton-Larycia-Hawkins-Kulia.jpg?resize=800%2C449Profesa wa Chuo cha Ki-kristo cha Wheaton College, kilichoko Chicago nchini Marekani ametimuliwa kazi kufuatia tamko lake kuwa Wailslam na Wakristo wanaabudu Mungu mmoja. Awali, Profesa huyo aliyetajwa kwa jina la Larycia Hawkins alimaishiwa kazi baada ya kuandika kwenye mtandao wa Facebook akihusisanisha tamko la Papa Francis na kile alichokiamini. “As Pope Francis stated last week, we worship the same God

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname