11 January 2016

MAZITO YAIBUKA NDOA MPYA YA WASTARA SIRI NZITO YAFICHUKA LIVE

ndoa-ya-wastara
Dar es Salaam: HAYA ni mazito! Nyuma ya shughuli ya kuolewa kwa staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma iliyofungwa Alhamisi iliyopita, kuna matukio ya kustaajabisha ambayo Ijumaa Wikienda limeyabaini.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname