15 January 2016

KESI YA PINGAMIZI DHIDI YA BOMOABOMOA KUSOMWA TENA JANUARI 25 MWAKA HUU.


Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia akizungumza na wandishi wa habari juu ya kuhairishwa kwa kesi dhidi ya bomoabomoa ambayo itasomwa tena Januari 25 mwaka huu.
 Kesi hiyoilifumguliwa ili kupinga agizo la wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi ambapo walikuwa wanabomoa maeneo hatarishi na maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi. 
Kesi hiyo ya zuio la bomoabomoa imesomwa leo na Jaji Panterine Kente leo katika mahakama kuu kitengo cha ardhi jijini Dar es Salaam. 
 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname