@babutale @salaam_sk @officialalikiba
Umefika
wakati wa babutale na salim kumsaidia mdogo wenu ali # haijalishi
aliwakosea kwa kiasi gani au mnasahau maneno ya wahenga kua mtoto
akinyea mavi mkono wako hauukati bali unausafisha tu.
Sasa huu ni
wakati wa kuhamisha nguvu mlizo kua mnaziweka kwa dai mziweke na kwa ali
kiba kwani kwa sasa kila kitu kiko wazi kua mipango na management yenye
maana ndio nguzo pekee ya kufika mbali kwa mziki wa watanzania.
Huu sio wakati wa kuvimbishiana misuli na kuanza kujinadi wakati ukweli wa mambo uko wazii#

No comments:
Post a Comment