Mshindi wa big Brother Afrika Idrisa Sultan ameingilia ugomvi wa team
Wema na Zari.Chanzo cha kurushiana maneno machafu yanguoni ni Diamond
Platnum kupita nao wote,Amewaonya team hizo zitasababisha mimba ya Zarikutoka.Team Zari wameingilia kati na kutoa ujumbe aliokuwa akichat na mtukanaji maarufu instagram Dougiemasta.Wamemwambia aachane na mambo yasiyo muhusu afanye yake washamchoka.
BONYEZA HAPA KUONA VIDEO
No comments:
Post a Comment