
Kuna kitu watu wanashindwa kukikubali hapa. Alikiba anakabiliwa na pressure hii sababu ya kushindanishwa na Diamond. Mimi si muumini wa hizi team, lakini kama mchambuzi wa muziki na mtu ninayefuatilia sana muziki wa Tanzania, napenda watu watambue na kukubali kuwa Diamond na Alikiba hawako sawa tena. Mnamuonea tu Kiba kumfananisha na Diamond.
Katika maisha kutangulia sio kufika. Mwenzake yuko mbali mno na ili kuondoa pressure hii inayomkabili Kiba, ni kuacha kulazimisha kuwafananisha watu hawa wawili.
No comments:
Post a Comment