31 January 2015

IYOBO: MIMBA YA ‘BABY’ WANGU AUNT EZEKIEL NI FARAJA KWANGU

Moses Iyobo akiwa na mpenziwe ambaye ni staa wa filamu Bongo, Aunty  Ezekiel.
Akizungumza na Amani hivi karibuni,  Iyobo ambaye nyuma kidogo alipost picha katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kutoa pongezi kwa mpenzi wake huyo kwa kumbebea ujauzito, alisema kuwa hakuna kitu ambacho anaona fahari kama hicho.
“ Mimi tu nikiwaza mtu ambaye ninampenda kwa dhati ana mimba yangu napata faraja kubwa sana hivyo kila siku namuomba Mungu ajifungue salama na ampitishe katika majaribu mazito,” alisema Iyobo.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname