27 October 2014

MAMA SITTIAKANA SITTI MTEMVU KUJIVUA TAJI LA MISS TANZANIA 2014.

misstz1Mama wa mrembo huyo, alisema ameshtushwa na taarifa za mwanaye kujiuzulu na kusema si za kweli, kwani kama angepanga kufanya hivyo asingefanya kwa kificho, badala yake angeitisha mkutao na wanahabari: “Hawezi kujiuzulu kienyeji hivyo na hata mimi mama yake sina taarifa hizo, hayo ni matumizi mabaya ya mitandao.”
credit: Mo dewji blog

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname