MAAJABU YA MUNGU ONA HAPA DUNIA INAVYOKARIBIA KUISHA
Mti wa ajabu kama unavyoonekana ukiwa na sura kama ya binadamu pamoja viungo vinavyofanana na mwanamke!
Na Mwandishi Wetu
Watafiti wa
mambo Kaskazini mwa Misri wameshikwa na butwaa baada ya kuugundua mti
mmoja mkubwa wenye umbo kama la binadamu tena mwanamke wa kike na
kusababisha taharuki kubwan nchini humo
Habari
juu ya maajabu hayo zilirushwa kwenye televisheni moja ya nchini humo
na kusababisha wananchi nchini humo kuogopa huku wengine wakisema sasa
huu ni mwisho wa dunia.
Hata
hivyo maajabu mengine ya mti huo kama unavyoonekana kwenye picha huwa
hauoti matawi lakini ni mbichi na ukiusogerea karibu unatoa unakutana na
baridi kari zaidi ya ile ya kipupwe"AC" hali inayofanya kuwa kivutio
kwa watalii wanaomiminika kuustaajabu.
No comments:
Post a Comment