21 October 2014

LUNDENGA AZUNGUMZIA SAKATA LA UMRI WA MISS TANZANIA 2014

 Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti Abbas Mtemvu (kushoto),katika mkutano huo Lundenga alitolea ufafanuzi swala la umri wa Mrembo huyo kulingana na vilelezo alivyopewa na mrembo huyo wakati akijiunga na mashindano hayo .

Miss Tanzania 2014,Sitti Abbas Mtemvu akizungumza machache na waandishi wa habari
BOFYA KUSOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname