30 September 2014

KALI YA KUMALIZA MWEZI HUU: TAZAMA MICHEZO HII HATARI LAKINI KWAO SALAMA YA KUJICHOMA MASHAVU KWA VISU VIKALI, KULAMBA NCHA ZA VISU NA KUJICHOMA NA PINI KWA WINGI HUKO MAJUU , SHUHUDIA MWENYEWE , NI AJABU

Wanaamini wakifanya hivyo wanazuia mambo mengi na kukataa si kuto kula nyama tuu bali hata kuacha pombe na ngono uzembe , hii ni sherehe ya kawaida kwao ndio maana ili kufikisha ujumbe wanaamua kujichoma choma katika mashavu, haya si mazingaombwe lakini ni Live. 
Zaidi ya yote pia wanaoga mafuta yamoto hii yote ni kupendezesha mchezo wao ambao ni hatari lakini kwao salama 


Don't drink straight after! This spiritualist may soon realise he has really spiked his own guns by putting spikes in some guns and skewering his cheeks ... especially when he tries to drink some water
Hii ishara inaonesha kuwa hautakiwi kunywa pombe ..  sasa huyu jamaa anapata shida sana akitaka kunywa maji au chakula maana anatafuta kanafasi kadogo ili kufanya hivyo.

A sword of warning: He is one of hundreds of vegetarians in southern Thailand who believe that piercing their faces with unusual objects while abstaining from meat will banish evil and give them peace of mind
Ni alama ya tahadhali hii ni moja ya mamia ya watu ambao hawali nyama huko Thailand , huyu anaamini  kwa kujiweka mapaga makali na kujichoma hivi itasaidia watu kuacha maovu kabisa na kuwapa amani mioyoni mwao

Hii ni hali ya kawaida sana kwao 
Popular: Each year thousands of people travel to the Bang Neow Shrine, in Phuket, southern Thailand, to watch the bizarre vegetarian festival held by the ethnic-Chinese community of the island during the ninth lunar month of their homeland's calendar
Huu ni utalii kabisa ambapo watu wengi wanaenda kuutazama , ikiwa kama kwetu pia likitokea kundi kama hili wanaokataa mambo maovu kwa mtindo huu itakuwa ni sehemu nzuri ya utalii

Hebu mtazame kwa umakini huyu jamaa yeye amejichoma na sindano kibao hapa chukua muda wako uzihesabu
Popular: Each year thousands of people travel to the Bang Neow Shrine, in Phuket, southern Thailand, to watch the bizarre vegetarian festival held by the ethnic-Chinese community of the island during the ninth lunar month of their homeland's calendar
Huyu kasha kula sana vyuma

Skewered: Not only must they refuse meat during the Festival for Eating Vegetables, but also sex, alcohol and other vices
Hii ni sema hapana kuto kula nyama, kufanya mapenzi na kunywa pombe 



Killing evil: Their suffering – they hope – draws evil out of the community around them and, in doing so, brings positive luck to their friends and village
Hii inamaanisha ni lazima kuangamiza maovu 

Needled: A devotee of the Chinese Bang Neow Shrine with needles inserted into his face waits for the start of a street procession during the annual Vegetarian Festival
Haya si mapambo lakini  hawa wanakataa matendo ya ajabu ajabu 

Thready to go: This devotee appears to have passed large bunches of thread through his cheeks in a bid to ward off evil spirits
Sasa  huyu ametobolewa na kuwekwa makamba mdomo mzima pia wanapigania kuacha na kutokomeza uhalifu 

Photographer Christophe Archambault says: 'Those inserting the objects wear rubber gloves, which they change between each “operation”. But apart from that, hygiene is completely nonexistent'
Hapa Jibu unalo
Regulars: He added that 'each procedure is pretty quick. Many penitents have scars -- they are regulars'
Hapa wanaaminini nkabisa kwa kufanya hivi wanasema hapana kabisa uhalifu kataa uhalifu ndio maana yake hapa
Devoted: This one cuts his tongue on an axe during the ceremony. He is not allowed to eat meat or drink alcohol
Sasa Tazama huu Mjambia hapa jamaa analamba hajali vipi anaumia lakini anamaanisha uhalifu basi 

Other ways: For those who do not wish to mutilate their faces, there are other ways to scare off dark powers
Tazama nanasi hizo zimepita katika waya ambao unasaidiwa na midomo yao ambauyo wamechomwa 


Odd biginnings: The ten-day self-cleansing festival dates back to 1825, and the visit of a traveling Chinese theatre company to the Thai mining town of Get-Hoe
Please the gods: When the touring actors succumbed to tropical fever in the jungle-clad region, they opted to keep to a strict vegetarian diet, hoping that this would please the gods – who would then relieve them of the illness
The plan worked – although it was unclear if the thespians’ improved health was down to a better diet than celestial intervention – and the festival was born

1 comment:

  1. Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

    Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

    Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname