“JOHARI Hatanisahau katika Maisha yake…Siri Ninayo mimi”…Ostaz Juma
Ostaz Juma na JOHARI
Haya Baada ya lile Saga la PNC kumpigia Magoti Ostaz Juma
sasa Amekuja na hii mpya ya Kusema Johari Hawezi hawezi kumsahau Ostaz
katika Maisha yake siri anayo yeye …Mhhh Siri Gani hiyo ?
No comments:
Post a Comment