Anaitwa Frank Temba
ni professional Photographer
wa kujitembea na amekuwa
mpiga picha maarufu Jini dare s salaam na TANZANIA kwa ujumla kazi zake zikiwavutia wengi sana na
Kuendelea Kupata
Oda ya kupiga picha event mbalimbali Kama CCBRT,BNN CONVETION HALL,MOKKA CITY,
na
wasanii wakubwa nchini wa standup Comedy mfano Wa eric Omondi na Mc pilipili ni
kijana mdogo mwenye umri wa miaka 19 na kazi zake zikiendelea kushangaza watu kama mpiga picha wa kujitegemea na pia
vilevile ana vipaji mbalimbali kama Video Music Director,Creative Desgner
,System Admistration,blogger akiwa kama admin kwenye website zifuatazo www.mcpilipili.com www.thechoice.com moja ya website kubwa Tanzania
Anajivunia kuwa Photographer historia
part2 Coming soon
No comments:
Post a Comment