UKUBALI AMA UKATAE..HAKIKA BILA HAWA WATU WATATU.. CLOUDS FM LAZIMA ITAPOTEZA MASHABIKI WAKE....HAWA WATU NI SHIDAAAA
Hatimaye watangazaji wa Clouds FM, B12, Adam Mchomvu na DJ Fetty
wamerejea tena hewani baada ya kuwa kimya kwa wiki kadhaa kutokana na
tetesi kuwa walikuwa wamesimamishwa kazi.
No comments:
Post a Comment