06 January 2014

BREAKING NEWZZZ....JESHI LA POLISI LAWATAWANYA WAFUASI WA ZITO NA WAFUASI WA CHADEMA WALIO TAKA KUPIGANA

Jeshi la Polisi lawatawanya wafuasi wa Zitto Kabwe na wafuasi watiifu wa chama cha

CHADEMA, waliotaka kupigana baada ya Mahakama Kuu kuhairisha kutoa maamuzi ya kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya chama chake.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname