08 December 2013

ANGALIA PICHA ZA UZINDUZI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MAGARI MOROGORO

 Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh Dk Joel Bendera akiwa na miss tanzania 2013 Happiness watimanywa  wakiwa meza kuu wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mbio za magari mkoani morogoro 
 Miss tanzania 2013 Hapiness watimanywa Akiwa amesimama kwa heshima kwa dakika moja ikiwa ni heshima kwa kifo cha rais wa zamani wa afrika ya kusini Rais Nelson Mandela aliyefariki juzi.
 
Miss tanzania akitoa hotuba fupi kuhusu Usalama barabarani wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo..

 Magari yalioshiriki katika mashindano hayo ambapo ni ya kilomita 200 ambapo mshindi anatarajiwa kutangazwa mchana wa leo katika viwanja vya gymkana mkoani morogoro.

CHANZO : MATUKIO NA MICHAPO BLOG

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname