01 September 2013

MAITI YALETA UTATA MPAKA KABURI KUFUKULIWA...!

 

Hili ndilo kabuli alilokuwa amezikwa kijana huyo wa kima'ngati

Taarifa kutoka kwa chanzo chetu inasemekana kuwa kijana huyo wa kima'ngati alivamiwa kijiji cha Igundu na watu wasiofaamika amabao walimpiga sana wakimuhisi kuwa ana pesa baada ya kumpiga vijana hao walitoweka na kumuacha akiwa hoi wasamalia wema walivyi muona kijana huyo walimkimbiza katika hospitali ya wilaya Chunya  


Baada ya kijana huyo kukutwa na umauti halimashauli ilichukua jukumu lakwenda kumzika ila baada ya ndugu wa kijana huyo kupata taarifa walienda polisi kuomba kibali cha kuchukua mwili wa marehemu huyo tukio ili lilitokea 27.08.2013


Huu ndiyo udongo uliyofukuliwa katika kabuli

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname