05 September 2012

HII ndo VIDEO ILIYOSITISHWA KUONYESHWA NIGERIA kwa sababu INACHOCHEA NGONO



Kamisheni inayohusika na masuala ya habari nchini Nigeria (NBC) imepiga marufuku urushwaji wa video ya Wande Coal kwenye vituo vya Tv Nigeria kwa sababu picha zake hazina maadili na zinahusika kuchochea ngono.

Pamoja na kwamba NBC imenyima video hii mpya kuonyeshwa Nigeria, bado staa huyu ambae yuko chini ya Don Jazzy mwenye lebo iliyomtoa D’banj anayonafasi kwenye Vioo vikubwa vya Africa kama MTV BASE na CHANNEL O, ambapo pamoja na hilo onyo kituo cha Tv cha Sound City Nigeria kinaendelea kuipiga hiyo video.



.

.

.

.



Pamoja na marufuku iliyopigwa na NBC, bado kuna ambao wanasupport hiyo video ikiwemo hii website maarufu ya Nigeria.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname