18 July 2012

HUYU NDIO MBUNGE ALIEMTAJA POLISI KWEKA KUSHIRIKINA NA WAHALIFU.

Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola kupitia CCM bungeni july 17 2012 amesema polisi wamtafute Fadhili Kweka mwenye mtandao wa uhalifu ndani ya jeshi la polisi.
Amesema “kuna mtandao mkubwa wa uhalifu ndani ya jeshi la polisi na ushahidi ninao, wanatoa kwa wahalifu taarifa za wananchi wanaomiliki silaha ili wahalifu wajue wananchi wana uwezo kiasi gani wa kujihami ili waende kufanya uhalifu, IGP unaenisikiliza naomba anza na mtumishi wenu anaitwa Fadhili Kweka anaomtandao wa uhalifu ndani ya jeshi la polisi, hainiingii akilini anapata wapi taarifa za wananchi wanaomiliki silaha alafu anawapa wahalifu, anzeni na huyo na nitawapa ushahidi wa kutosha”
Hiyo ndio kauli ya Mbunge Kangi Lugola ambae alikua akitoa hiyo mistari wakati wa kuchangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi…. unaweza kumsikiliza zaidi hapo chini ufahamu yote aliyosema….

1 comment:

  1. safi sn 2nataka wabunge wa namna hii wanaojitoa mhanga na kuweka mambo hadhalani.

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname