
Picha hizi zilipigwa kwenye uzinduzi wa video ya Lupela yakwake Alikiba mwishoni mwa weeek iliyoisha.












Nivigumu kudadavua neno mapenzi haswa pale unapokuwa unapendwa au unaona watu wanapenda. Wema Sepetu sio
mara ya kwanza kuwa kwenye uhusiano na staa hapa nchini, Na kila mpenzi
aliye wahi kuwa naye aliandika maneno matamu juu yake pale alipo
jisikia kuandika. Na kwa Idris Sultan ambaye leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa, Wema kaandika haya.A video posted by Clouds Fm (@cloudsfmtz) on
A video posted by Diva (@divathebawse) on
A video posted by Diva (@divathebawse) on
